AHMED ALLY AKITAMKA JINA LA KOCHA MPYA WA YANGA "TULIWAINGIZA CHAKA, KWA KUIGA"
ADVERTISEMENT
Comments 81
gerolfechoing17:
Hata kama ni yanga😂 hapa utacheka Tu hata nguvu za kumjibu …
More Like This
10:42
AHMED ALLY:LIBASSE GUEYE KUIVAA MIGHT MIGHTY WANDERERS UHURU ADHABU YAKE IMEISHA
Sports
498
0
3:58
⚽ Liverpool 2-1 Atletico Madrid [HIGHLIGHTS] Champions League 26/27 ✅ | Match Simulation/Recreation
Sports
199
0
0:52
Why footballers FAKE their reactions for the cameras 👀
Sports
3.9k
0
0:18
Pep uses tactics on Haaland 😂
Sports
8.5k
0
8:32
EXTENDED HIGHLIGHTS - Barcelona Vs Feyenoord 5-1 | Goals & Highlights | Champions League 2026/27
Sports
4.6k
0
2:12:01
LIVE | Al Nassr vs Abha | Saudi Pro League | SportyTV
Sports
1.5k
0
27:31
BARCELONA 5 FEYENOORD 1, MATCH ANALYSIS, RAPHINHA, LAMINE, JESUS, CHELSEA NEWS AND ALL NEWS
Sports
1.8k
0
3:48
🔵🔴Barcelona vs Feyenoord (5-1) Extended HIGHLIGHTS | UEFA Champions League
Sports
4.0k
0
You've reached the end
Hata kama ni yanga😂 hapa utacheka Tu hata nguvu za kumjibu unakosa😂 maana anatema facts 😂
12 July 2026 miaka kumi ijayo sijui nitakuwa wapi, ee Mungu nisaidie 😢😢
😂😂😂😂😂 semaji la caf
Ila Semaji nakukubali sana😂
Kumbe akitulia anaongea fact
Wakae Wakijua Kuwa Njia Ya SIMBA hawezi Kupita CHURA
huyu jamaa mm sio kwa ushabiki Ahmed yuko vinzr kwa kukera watu😂😂😂
Semaji raha sanaaa kukusikiliza
Kusema kuiga kuchukua kocha au mchezaji taifa moja ni ushamba Yanga walichukua wachezaji asec na Cot de ivore simba wakaenda huko huko.... yani Ahmed bado mshamba sana
Kwani kati ya sead ramovic na fadlu nani alianza kuja bongo 😂😂
Bro hebu zungumza vizuri uache komedi unafata sana
Huyu jamaa 😂 ni mchekeshaji mzuri mno
Haka kajamaa kanalipokaga saana ila likikapata kanageuza story ko kaacheni kajifariji na kujifyatua
Jamaa anauliza kama hajui
Wa kwanza yanga wewe wacha kudanganya watu sisi ndio tulianza na mchezaji skudu
Huyu jamaa 😅😅😅😅 comedian mzurii
HUYU AHMED ALLY NADHANI NI SHOGA HAJIELEWI YAANI ANAROPOKA TU ETI WANATUIGA SASA MAFANIKIO YENU MLIYOPEWA NA KOCHA WENU NDO HIYO F.A ??MNYA HOVYO WEWE
Kwamafanikio gani mnayofanikiwa chura nyny au hayoo yakupebwaa huu msimu unaokujaa navyotaka tunatakaaa mungu akulinde semaji wetu tunakupenda sana wanasimbaa🙏🙏🦁🦁🦁🦁💪🏽💪🏽❤️❤️
Ramovic alitokea wapiii???
Ukiwa Msemaji wa timu kubwa unapaswa kuwa na kumbukumbu. Jaribu kumbuka Kati Sayd Ramovich a.k.a germany machine na Fadlu ni nani alianza kuja Tanzania? Uwe unaandika for reference