0:00
9:58
9:58

Yanga SC yatambulisha mashine tatu kutoka nje ya Tanzania; Hersi awasainisha mikataba hadharani

Sports

Rais wa Yanga SC, Hersi Said ametambulisha wachezaji wapya watatu kutoka nje ya Tanzania, katika tukio lililokuwa LIVE #azamTV Wachezaji hao ni Cheikh Ibrahim Toure, Albert Kangwanda na Housseine Zakouani. Huyu hapa Hersi akieleza sifa za wachezaji hao...

ADVERTISEMENT
Comments 89 franklinvelvet77: Hawa wote wataishia kwenda kudai fifa