Mzee Said M Mnggithi ndo kwanza ana mwezi mmoja hebu tuheshimu Sayansi ya mpira, ukweli ni kwamba hili bomu la nyuklia analotengeneza mwalimu M Mnggithi likija kupata muunganiko vilio vitakuwa vingi.
V
victoire.lucas3 weeks, 1 day ago
Aisee mzee Side umeongea neno ambalo mimi pia naongea kila siku. Nina mashaka sana na kocha wa WANANCHI
R
rodrigo.mendes3 weeks, 1 day ago
YANGA BINGWA GONGA Like YAKO APA
J
jonathan.hill3 weeks, 1 day ago
Yanga bingwa🎉
L
lorraine_powell3 weeks, 1 day ago
Nakupenda nze side kutoka Mozambique 🇲🇿
michelle_bryan3 weeks, 1 day ago
Mzee Said kuhusu kocha maomba utuache,hii timu bado haijapata muunganiko hasa kwa hizi gemu za kwanza na timu unaiona inavyotandaza soka.
L
leonard_bender3 weeks, 1 day ago
Mzee wa ukweli 😂
irene.humphries3 weeks, 1 day ago
Injinia tuchukue hayo maneno ushauri wa bure kocha
ekani_goswami3 weeks, 1 day ago
Hahahahahaha. Mze said bwan
B
brendanhollow273 weeks, 1 day ago
Ongea baba me nakupenda sana mzee wangu unasema ukweli
advika_tara3 weeks, 1 day ago
Mwakani tena 😂😂
L
luce.antoine3 weeks, 1 day ago
Yanga bingwa 💟💟💟💖
A
alix_legendre3 weeks, 1 day ago
Maojiano Chapesa na mzee Said uwa nawapenda sn
R
ross.craig3 weeks, 1 day ago
Side kama side
virginiedelta143 weeks, 1 day ago
Mzee side lete mambo
H
heathermerritt953 weeks, 1 day ago
Mzee sideeeeeee 🎉🎉🎉🎉
M
marcelladörschner4833 weeks, 1 day ago
mzee said nakukubali sana kuuchambua mpira
S
stéphane.perrin3 weeks, 1 day ago
Ukweli Mzee saidi umeongea mi yanga dam lkn kocha hatuna yanga
V
vasudha_khanna3 weeks, 1 day ago
😂😂😂😂😂nacheka kama mazuriii
kabir_khalsa3 weeks, 1 day ago
amina tusemeni Mungu au MUNGU siyo mungu kwani hilo ni jina kubwa lipitalo majina yote duniani kuzimu na hata mbinguni pia amina amina
Mzee Said M Mnggithi ndo kwanza ana mwezi mmoja hebu tuheshimu Sayansi ya mpira, ukweli ni kwamba hili bomu la nyuklia analotengeneza mwalimu M Mnggithi likija kupata muunganiko vilio vitakuwa vingi.
Aisee mzee Side umeongea neno ambalo mimi pia naongea kila siku. Nina mashaka sana na kocha wa WANANCHI
YANGA BINGWA GONGA Like YAKO APA
Yanga bingwa🎉
Nakupenda nze side kutoka Mozambique 🇲🇿
Mzee Said kuhusu kocha maomba utuache,hii timu bado haijapata muunganiko hasa kwa hizi gemu za kwanza na timu unaiona inavyotandaza soka.
Mzee wa ukweli 😂
Injinia tuchukue hayo maneno ushauri wa bure kocha
Hahahahahaha. Mze said bwan
Ongea baba me nakupenda sana mzee wangu unasema ukweli
Mwakani tena 😂😂
Yanga bingwa 💟💟💟💖
Maojiano Chapesa na mzee Said uwa nawapenda sn
Side kama side
Mzee side lete mambo
Mzee sideeeeeee 🎉🎉🎉🎉
mzee said nakukubali sana kuuchambua mpira
Ukweli Mzee saidi umeongea mi yanga dam lkn kocha hatuna yanga
😂😂😂😂😂nacheka kama mazuriii
amina tusemeni Mungu au MUNGU siyo mungu kwani hilo ni jina kubwa lipitalo majina yote duniani kuzimu na hata mbinguni pia amina amina