Kama huoni tofauti ya uchezaju basi hujui kabisa Mpira bro. Angalia gormatio and style of play,angalia intensity,angalia namna wanavyotengeneza nafasi,angalia zile mobilities kati ya Zakoani na Kangwanda,,mambo mazr ni mengi mno,jufunze kabla hujatoka public
marΓaluisa_lemus2Β weeks, 3Β days ago
Piter Shalulile Analeta Faida Nyingi Sana Pale Mbele ..Mabeki Wengi Wanamkaba Shalulile Arafu Wanawasahau Wachezaji Wengine...Angalia Baada Ya Kutoka Shalulile Coastal Unioni Wakaanza Kujiachia ..
sarah_wallace2Β weeks, 3Β days ago
Kama huoni utofauti basi hakuna uchambuzi boss
virginiedelta142Β weeks, 3Β days ago
Mtalia sana,mmeanza kulia only in 2 games
J
james_west2Β weeks, 3Β days ago
Kama huoni bora uache kuchambua mpira maana hujuiiiii kbsa
H
hortensepoirier4532Β weeks, 3Β days ago
Umuhimu wa shasha mtakujakumuona kwe mechi ngumu hasa zakimataifa Yanga ikiwa nyuma ya mpira.Itahitaji mtu mmoja mbele.
J
jonathan.hill2Β weeks, 3Β days ago
shalulile ameleta utofauti mkubwa Sana
I
ianvoid392Β weeks, 3Β days ago
ujui mpira bro mbona tushawajuwa na mtaumia sana mwaka huu shinda mechi zako na simba yako
T
tristan.miller2Β weeks, 3Β days ago
mnachambua ujinga tu Yani unataka team nzima iwe ya wakabaji Yani kama wew ingekuwa kocha umuweke Aziz nje kwaajil ya mudarthir huwez kuwa kocha Aziz ni level nyngne kwny hio team
J
jonathan.hill2Β weeks, 3Β days ago
Daima mbele nyuma mwikoππ
tracey_ramos2Β weeks, 3Β days ago
azizi kacheza wydad sio kw bahati mbaya nanalikua anaanza na hata alipotoka kabla kuja yanga msimu huu pia amecheza na amefunga goli 8 na assist 3 pia yanga ya sasa azizi ki anapunguziwa majukumu akikaa kati pale na anauwezo wa kuficha mpira na kufanya penetrations pass za kutosha kw watakaokua ndani ya box au wale wa nje ya box
maanaszachariah602Β weeks, 3Β days ago
Boka Cross zake anabutua halengi anatumiq nguvu sana
C
cynthia.costa2Β weeks, 3Β days ago
Seleman mwalim akipata nafas atafunga, hawez kupata nafas 3 akakosa zote
C
christopherharper9552Β weeks, 3Β days ago
Kangwand pia alikuepo kama huon tofaut
mariacecΓliaalbuquerque4272Β weeks, 3Β days ago
Kuna baazi ya wachambuzi wanachambua kwa hisia hadi mtu apigwe kumi ndio uamini kama wamebadilika wengine kama hawaoni mabadiliko kwa yanga bora mkarime kazi imewashinda hiyo ya uchambuzi hadi timu ije ipigwe kumi ndio muone imebadilika napo mtasema vijana wameuza timu ukweli ugali moto mboga moto
K
karen_larson2Β weeks, 3Β days ago
Jamaa kweli hajui mpira, huoni tofauti yoyote nh dunia ina kila aina ya watu
Kama huoni tofauti ya uchezaju basi hujui kabisa Mpira bro. Angalia gormatio and style of play,angalia intensity,angalia namna wanavyotengeneza nafasi,angalia zile mobilities kati ya Zakoani na Kangwanda,,mambo mazr ni mengi mno,jufunze kabla hujatoka public
Piter Shalulile Analeta Faida Nyingi Sana Pale Mbele ..Mabeki Wengi Wanamkaba Shalulile Arafu Wanawasahau Wachezaji Wengine...Angalia Baada Ya Kutoka Shalulile Coastal Unioni Wakaanza Kujiachia ..
Kama huoni utofauti basi hakuna uchambuzi boss
Mtalia sana,mmeanza kulia only in 2 games
Kama huoni bora uache kuchambua mpira maana hujuiiiii kbsa
Umuhimu wa shasha mtakujakumuona kwe mechi ngumu hasa zakimataifa Yanga ikiwa nyuma ya mpira.Itahitaji mtu mmoja mbele.
shalulile ameleta utofauti mkubwa Sana
ujui mpira bro mbona tushawajuwa na mtaumia sana mwaka huu shinda mechi zako na simba yako
mnachambua ujinga tu Yani unataka team nzima iwe ya wakabaji Yani kama wew ingekuwa kocha umuweke Aziz nje kwaajil ya mudarthir huwez kuwa kocha Aziz ni level nyngne kwny hio team
Daima mbele nyuma mwikoππ
azizi kacheza wydad sio kw bahati mbaya nanalikua anaanza na hata alipotoka kabla kuja yanga msimu huu pia amecheza na amefunga goli 8 na assist 3 pia yanga ya sasa azizi ki anapunguziwa majukumu akikaa kati pale na anauwezo wa kuficha mpira na kufanya penetrations pass za kutosha kw watakaokua ndani ya box au wale wa nje ya box
Boka Cross zake anabutua halengi anatumiq nguvu sana
Seleman mwalim akipata nafas atafunga, hawez kupata nafas 3 akakosa zote
Kangwand pia alikuepo kama huon tofaut
Kuna baazi ya wachambuzi wanachambua kwa hisia hadi mtu apigwe kumi ndio uamini kama wamebadilika wengine kama hawaoni mabadiliko kwa yanga bora mkarime kazi imewashinda hiyo ya uchambuzi hadi timu ije ipigwe kumi ndio muone imebadilika napo mtasema vijana wameuza timu ukweli ugali moto mboga moto
Jamaa kweli hajui mpira, huoni tofauti yoyote nh dunia ina kila aina ya watu
Respect kaka edo unajua
Mtaumia Wengi Sana
Hahhhh Hahhhh wao wao yanga Yanga
DK na ukolo wako hutaweza kuona tofauti