Ndo maana Halaand,msimu uliopita alikuwa top scorer wa Ligi kuu ya Uingereza...lakini takwimu zinasema alikosa nafasi za magoli 30....
L
lisaswift3131Β week, 5Β days ago
Ebu mtuachie shasha man wetuπ π π
eloah_damata1Β week, 5Β days ago
Christiano Ronardo --- Lionel Messi na wengine kama hao -- je ni ma clenicle finisher au sio maclenicle finisher -- je,kama ndivyo,je wao huwa hawakosi magoli? ---- washambuliaji wote Duniani,wanakosa magoli --- na kukosa magoli,kunadhihitisha ubinadamu wao -- vinginevyo,hawatakuwa binadamu !
L
lisa_hayes1Β week, 5Β days ago
Talents nyingi za simba ni zipi vile???
micheal.turner1Β week, 5Β days ago
Utter nonsense!Mshambuliji gani anafunga kila nafasi?Basi tungekua na magoli 20 kwa mechi.Just leave our yanga alone
S
sherrybaker7921Β week, 4Β days ago
JIMMY MAREHEMU SAID MWAMBA ALICHEZA MPAKA AKIWA NA MIAKA 40 NA KIWANGO KILEKILE
S
suzanneshadow591Β week, 4Β days ago
Tatzo la wachambuzi wetu tz ndo hilo, mtu ni top scorer wa mda wote south Africa leo hii game tatu mmeanza kumjaji na bado ana magoli mawili,, hvi mliona goli alofunga zid ya jkt au mlifumba macho,, hilo goal huwez kuliona kwa wachezaji wa mkopo
Ndo maana Halaand,msimu uliopita alikuwa top scorer wa Ligi kuu ya Uingereza...lakini takwimu zinasema alikosa nafasi za magoli 30....
Ebu mtuachie shasha man wetuπ π π
Christiano Ronardo --- Lionel Messi na wengine kama hao -- je ni ma clenicle finisher au sio maclenicle finisher -- je,kama ndivyo,je wao huwa hawakosi magoli? ---- washambuliaji wote Duniani,wanakosa magoli --- na kukosa magoli,kunadhihitisha ubinadamu wao -- vinginevyo,hawatakuwa binadamu !
Talents nyingi za simba ni zipi vile???
Utter nonsense!Mshambuliji gani anafunga kila nafasi?Basi tungekua na magoli 20 kwa mechi.Just leave our yanga alone
JIMMY MAREHEMU SAID MWAMBA ALICHEZA MPAKA AKIWA NA MIAKA 40 NA KIWANGO KILEKILE
Tatzo la wachambuzi wetu tz ndo hilo, mtu ni top scorer wa mda wote south Africa leo hii game tatu mmeanza kumjaji na bado ana magoli mawili,, hvi mliona goli alofunga zid ya jkt au mlifumba macho,, hilo goal huwez kuliona kwa wachezaji wa mkopo