GB 64 AISOMA KATIBA MPYA YA SIMBA YENYE WAWEKEZAJI 3 / SITAKI MILION 5 AMLIPUA KISUGU NA MC GARAB
ADVERTISEMENT
Comments 40
ross.woodward:
We nawe ushapewa posho kaa kimya
More Like This
0:41
TAZAMA HILI NDIO GOLI WALILOFUNGWA YANGA NA GABORON UNITED ,UNI UZEMBE AU SIO UZEMBE
Sports
81
0
7:53
MCHOME MAPOVU ACHAFUKWA NA CHAMA,HUYU NI MUONGO,SIMBA TUSIWACHOKOZE YANGA WATATUVURUGA KWA MASIMANGO
Sports
0
0
2:29
GABORONE WAKIWAROGA YANGA WAZI WAZI USHIRIKINA & UCHAWI
Sports
69
0
10:20
SIMBA CAF NI NEXT LEVEL‼️ MSIFANANISHE NA WENGINE | KWA SIMBA HII KILA MTU ATATUBU TU DAADEKI 🙌🙌
Sports
103
0
2:26:51
🔴# LIVE: MIGHT WONDERS (0) (1) SIMBA SC (CLUB BINGWA)
Sports
77
0
16:01
WAREMBO WA SIMBA WATOA POVU SELEMAN KUFUNGA/WAMTAJA DOUMBIA/WAUVAA UONGOZI WAO KUMUACHA
Sports
100
0
13:05
🚨uchambuzi cloudsfm,mjadala mzito waibuka baada ya selemani mwalimu kufunga bao la kusawazisha
Sports
101
0
0:16
Vibe la yanga goli la selemani mwalimuuuu
Sports
233
0
You've reached the end
We nawe ushapewa posho kaa kimya
Sasa mkutano si ulisha fanyika Na Mwenyekiti alitangaza watu wake 7 swali la msingi lini walianza utendaji katika nafasi zao?? Ili tujue ule mkutano ulikuwa na faida
Ila njaaa mbaya sana huyu jamaa hadi huruma yani yeye huwa anaenda pale penye pesa
Professor Mambo hayaendi kwa pupa tusubiri mda ukifika utafanyika mkutano hiyo katiba itasomwa
Sasa kama katiba ya Simba unayo si ukachukue M5 mbona mambo yanakuwa mengi
Kweli mwaka huu kila mtu atachanganyikiwa jwa wakati wake
Leo nAonA visingura vimekupanda kichwani
Gb ushakua mwana alakati wa kutetea mangungu kumbuka mkutano uriiaha bila ya ivyo vifungu ulivyo soma wana chama waja pitisha
GB 64 uwa nakuamini. Lakini ktk hilio lauyojamaa. Aunahaja yakutokwa povu. Km alichouliza jamaa. Km kipoo nayey kasema atatowa milio 5. Kumfunga mdomo jamaa aonyeshewetu ivo vinguu. Kwanin utokwepovu nawakati inshundogotu iyoo tumuonyeshe kishayeye atoweiyo milio 5. Ajibiewe kwahojatu. Simna nguvu 1.
Huyu jamaa anadhani sheria ni hadithi za kufikirika, vifungu vyote alivyonukuu havimpi nguvu yoyote anayoitetea. Nani ataongoza bodi, au ukomo wa uongozi kashindwa kutafsiri ikiwemo wawekezaji. Lkn pia sijui kwanini kauita upande uliopo sasa ni ukoloni inasikitisha sana kuwa influencers sasa wamekuwa makomando wa mtandaoni. Hivi kwa mfano mara serikali itakaporuhusu katiba mpya je mara itakapopatikana ndo serikali itakuwa haipo automatically? kuna kipindi cha mchakato,kuanza kwa matumizi na kuangalia kanuni. kwa Simba hiki ni kipindi cha mpito na kama bodi ime expire basi hata uhai wa mwenyekiti ume expire mpaka uchaguzi mpya.
Unaingilia kazi isiyokuwa yako hiyo ni kazi ya wanasheria kaka lakini kwa kuwa ni njaa inakusumbua kazana tu😂
Wewe hovyo kabisa, kwanza wingi ni kuanzia 2, hiyo tatu mpaka tano mnaitoa wapi,
SIMBA wasiwe na Miemko. Simba ni Timu Bora Sana na kubwa. Watu wenye Elimu ya Uongozi. Maendeleo hayataki Wababaishaji kama G64..na Kasugu.
Sio lazima wawe 3 hata akipatikana mmoja anatosha. Sasa wewe unatakaje
Sasa mc Gara b unajifananisha naye,halafu wewe Simba ni ya watu maalum.halafu unataka watu wakufuate wewe tu.
14:08
Muongo wewe sisi tunakumbuka siku meitisha waandishi mukisema mangungu mitanotena
Weye muongo usijifanye unaipenda simba weye mnafik na tamaa njaa inakusumbua tushakujua wewe na wenzako . GB nakwambia badilika mnafik siku zote hasimami sehemu moja hapo zamani tulikuheshimu sana ila kwa. sasa tunakuona huna maana wewe si mpenzi wa simba wewe ni msaliti wa simba ile albadiri imekupata. Ushauri badilika sio kila kitu wewe ujifanye unajua
YANGA BINGWA BINGWA TENA mwakani TENA🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤
JIBU HOJA WACHA POROJO.