Hivi ndivyo wachezaji wa Gaborone United walivyowatakia heri wachezaji wa Yanga baada ya kufuzu hatua ya pili Ligi ya Mabingwa Afrika. Yanga imefuzu hatua ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu wa 2026/27 baada ya kuifunga Gaborone United ya Botswana mabao 2-1 katika mechi ya marudiano iliyochezwa Septemba 12, 2026 kwenye Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam. Ushindi huo umeifanya Yanga kufuzu kwa jumla ya mabao 3-2, baada ya awali kutoka sare ya bao 1-1 katika mechi ya kwanza iliyochezwa ugenini. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj
ADVERTISEMENT