0:00
5:09
5:09

USIKU MNENE! AZIZ KI, MWALIMU, SHALULILE WAIONGOZA YANGA KUIFUATA GABORONE UNITED CAFCL, VIGOGO WAMO

Sports

‎Kikosi cha Yanga kimewasili saa nane usiku, Septemba 2, 2026, katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), jijini Dar es Salaam, kuanza safari kuelekea Botswana kwa ajili ya mechi ya kwanza hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu 2026/27 dhidi ya Gaborone United, itakayochezwa Septemba 5, 2026. ‎ ‎Miongoni mwa viongozi walioambatana na kikosi hicho ni Makamu wa Rais wa Yanga, Arafat Haji, Mtendaji Mkuu (CEO) wa klabu hiyo, Andre Mtine pamoja na Ofisa Habari, Ali Kamwe. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj

ADVERTISEMENT
Comments 18 dagmarcascade31: Mungu wajalie Kila la kheri yanga bingwa