0:00
8:13
8:13

Gaborone United 1-1 Yanga SC | Highlights | CAF Champions League 05/09/2026

Sports

Selemani Mwalimu ameinusuru Yanga na kichapo kwa kusawazisha goli dakika za majeruhi dhid ya Gaborone United, mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika uliopigwa kwenye Dimba la Taifa la Botswana, Jijini Gaborone. Yanga walitanguliwa kwa goli la free kick lililofungwa na Obry Amseb dakika ya 33. Hii ni mechi ya mkondo wa kwanza, raundi ya awali CAF Champions League.

ADVERTISEMENT
Comments 90 charles_sandoval: Yesu Ndiye njia ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOK…